- 1,499 viewsMsemaji wa Serikali ya Tanzania, Greson Msigwa, amesema kuwa nchi imejipatia chanzo kikubwa cha umeme wa gharama nafuu na kwamba Watanzania wanapaswa kuwa na subira wakati Serikali inachakata na kutekeleza hatua zinazohitajika ili kushusha bei ya umeme. Akizungumza na waandishi wa habari kwenye Bwawa la Mwalimu Nyerere, Rufiji, Mkoa wa Pwani. Msigwa alieleza kuwa Serikali imewekeza katika miradi mikubwa ya uzalishaji umeme na kuwa, licha ya kiu ya wananchi ya kuona bei za umeme zikishuka, Serikali haitakimbilia kufanya maamuzi ya haraka bila kutathmini madhara yake. “Tanzania sasa ina umeme wa gharama ya chini zaidi Afrika. Gharama zetu za umeme ni za chini kiasi kwamba tunapata changamoto ya kuvutia wawekezaji wa sekta binafsi. Wawekezaji wanapenda kuwekeza kwenye maeneo ambapo gharama za umeme ni juu ili waweze kupata faida kubwa,” alisema Msigwa. Aidha, alisisitiza kuwa Serikali itaendelea kuchukua hatua madhubuti kuhakikisha kuwa Watanzania wanapata umeme kwa bei nafuu, huku ikijitahidi kuboresha miundombinu na kuchochea ukuaji wa sekta ya nishati nchini. Ripoti ya Amri Ramadhani, VOA, Tanzania. #gresonmsigwa #msemaji #serikali #rufiji #mkoawapwani #bwawa #mwalimunyerere #gharama #serikali #voa #voaswahili #tanzania
'Najua kiu ya Watanzania nikutaka kuona umeme unashuka bei, tuachieni serikali tuchakate...'
- 26 Jun 2025 - Shabiki, through its Na Jamii corporate social responsibility initiative, proudly sponsored the KidsToKids Charity Golf Tournament, a one-of-a-kind event that raised funds to support education for underprivileged children in Kenya.
- 26 Jun 2025 - Some 26 Nyandarua County government vehicles were torched during Wednesday’s demonstrations to mark the first anniversary of last year’s anti-Finance Bill protests.
- 26 Jun 2025 - Iran's intelligence services have arrested 26 people, accusing them of collaborating with Israel, state media Fars news agency reported, days after a ceasefire between the two countries was announced.
- 26 Jun 2025 - Sixteen people died during nationwide anti-government protests in Kenya on Wednesday, most of them killed by police, the head of Amnesty Kenya said, a year after deadly demonstrations against a tax bill culminated in the storming of parliament.
- 26 Jun 2025 - Ecuador's president announced Wednesday that the country's most-wanted fugitive, Los Choneros gang leader "Fito," had been recaptured over a year after his escape from prison triggered a wave of violence.
- 26 Jun 2025 - Kalonzo said he understands the frustration and grief felt by the youth.
- 26 Jun 2025 - Lobby groups said at least eight people were killed and 400 injured in the protests.
- 26 Jun 2025 - In a statement on X, Kaluma said the CA’s move was in the interest of public safety and order.
- 26 Jun 2025 - Protesters barricaded roads, lit bonfires, and engaged police in fierce confrontations
- 26 Jun 2025 - Live coverage of peaceful demonstrations is not incitement to violence.