- 196 viewsKanda ya video iliyochukuliwa na ndege isiyokuwa na rubani kutoka kusini mwa Israel imeonyesha moshi mnene ukifuka kutoka katika majengo yaliyoharibiwa huko kaskazini mwa Gaza siku ya Alhamisi (Desemba 12), wakati vita vikiendelea kati ya Israel na Hamas. Vita vilianza baada ya watu wenye silaha wa kikundi cha Hamas kuzivamia jamii za Israel mnamo Oktoba 7, 2023, na kuua kiasi cha watu 1,200 na kuwateka takriban watu 250 na kuwapeleka katika eneo la Gaza, kwa mujibu wa hesabu za Israeli. Tangu wakati huo, jeshi la Israel limeharibu maeneo ya Gaza, na kuwaua karibu Wapalestina 45,000, na kuwakosesha makazi takriban wote milioni 2.3 na kuongezeka kwa njaa na magonjwa, kulingana na mamlaka ya afya za Palestina. Waisraeli na Wapalestina wanaonyesha juhudi mpya ya kufikia makubaliano ya kusitisha mapigano, ikiwa ni mara ya kwanza kwa mwaka mzima, kusitisha mapigano huko Gaza na kuwarejesha Israel angalau mateka 100 ambao bado wanashikiliwa na Wapalestina huko Gaza. - Reuters #israel #wapalestina #shambulizi #vifo #Nuseirat #gaza #hamas #mateka #voa #voaswahili
Moshi mnene wafuka kutoka katika majengo wakati vita ikiendelea kati ya Israel na Hamas
- 26 Jun 2025 - Speaking a day after the nationwide demonstrations, Kimilili MP Didmus Barasa criticized court-imposed restrictions on police use of force, claiming they left officers powerless in the face of unrest.
- 26 Jun 2025 - The incident occurred when two officers—one from the Directorate of Criminal Investigations (DCI) and the other from the general police service—were overcome by the weight of the mast, which collapsed and came into contact with live electricity cables…
- 26 Jun 2025 - President William Ruto has assented to the 2025 Finance Bill at State House, Nairobi after MPs passed the proposed legislation last week.
- 26 Jun 2025 - Aroko, who was previously arrested and treated as a suspect in the high-profile case, was freed after the Directorate of Criminal Investigations (DCI) reviewed the evidence and opted to enlist him as a key witness.
- 26 Jun 2025 - Four casualties from Wednesday’s June 25 anniversary demonstrations are still admitted at the Matuu Level IV hospital in Machakos County with gunshot wounds.
- 26 Jun 2025 - Babu took to social media, saying, "This is not just an attack on me, but on democracy itself," linking the withdrawal to his active participation in nationwide protests marking the one-year anniversary of the June 2024 demonstrations against the…
- 26 Jun 2025 - His remarks came amid nationwide protests held to mark one year since the deadly June 25, 2024, anti-government demonstrations.
- 26 Jun 2025 - Shabiki, through its Na Jamii corporate social responsibility initiative, proudly sponsored the KidsToKids Charity Golf Tournament, a one-of-a-kind event that raised funds to support education for underprivileged children in Kenya.
- 26 Jun 2025 - Kilifi County fails to spend Sh220m climate funds, audit reveals
- 26 Jun 2025 - Linus Kaikai joined Royal Media Services in 2018 from NTV.