- 614 viewsMamia ya wanafamilia waliokata tamaa kwa ajili ya ndugu zao wachimba madini haramu waliokwama kwenye mgodi Afrika Kusini wamemiminika nje ya mgodi huo wakisubiri kwa matumaini kuwa wapendwa wao watatoka chini ya ardhi. Wachimbaji wako katika mvutano na polisi ambao wamezuia kupelekewa chakula na maji, na wanajaribu kuwalazimisha kutoka ili wakamatwe kwa sababu ya kuingia kinyume cha sheria kwenye machimbo ulioachwa wakitafuta dhahabu zilizobaki , hili ni tatizo la kawaida Afrika Kusini. Zaidi ya wachimbaji haramu 1000 tayari wametoka katika wiki za karibuni huku polisi wakiwakamata na kulikuwa na maiti moja iliyopatikana. Haiko wazi kama wale waliobaki katika mgodi wa Stilfontein katika jimbo la NorthWest hawako tayari au hawakuweza kutoka nje ya shimo lenye urefu wa zaidi ya kilomita 2 chini ya ardhi. Ndugu na marafiki wakishinikiza kuwepo mabadiliko katika mfumo wa uchambaji madini ya dhahabu katika mgodi ambao wachimbaji haramu wamekwama, Afrika Kusini, Ijumaa, Nov 15, 2024. Ndugu na marafiki wakishinikiza kuwepo mabadiliko katika mfumo wa uchambaji madini ya dhahabu katika mgodi ambao wachimbaji haramu wamekwama, Afrika Kusini, Ijumaa, Nov 15, 2024. Polisi na wana jumuiya walisimama karibu na mlango wa mawe kwenye sehemu ya kuingilia ambako kulikuwa na kifaa kilichowekwa kwa ajili ya kuwavuta nje wanaume hao. Mwanafamilia Shona Roselina anasema: “ Ndio tunao wanafamilia zaidi ya 20 , waliokuja kutoka Chipinge nchini Zimbabwe. Tunatumai watatoka nje ili tuwapeleke nyumbani. Mmoja ana mke ambaye yuko hapa. Analia, hatujui jinsi ya kumsaidia. Mume wake alikwenda chini ya ardhi mwezi Aprili na amekuwa huko hadi sasa. Hakuna chakula , hakuna kitu. Tunajaribu kuwasaidia.” - Reuters #Stilfontein #madini #mgodi #dhahabu #wachimbaji #afrikakusini
wanafamilia wa wachimba madini haramu wakusanyika nje ya mgodi
- 26 Jun 2025 - In a statement released Thursday, the country's leading legal body expressed condolences to the families of the eight people confirmed to have died during the nationwide protests, one year after the 2024 anti-Finance Bill demonstrations.
- 26 Jun 2025 - The Kenya Union of Journalists (KUJ), Kenya Editors Guild (KEG), Association of Media Women in Kenya (AMWIK), and Kenya Correspondents Association have filed a petition in the High Court claiming that the government's actions violate several fundamental…
- 26 Jun 2025 - Speaking a day after the nationwide demonstrations, Kimilili MP Didmus Barasa criticized court-imposed restrictions on police use of force, claiming they left officers powerless in the face of unrest.
- 26 Jun 2025 - The incident occurred when two officers—one from the Directorate of Criminal Investigations (DCI) and the other from the general police service—were overcome by the weight of the mast, which collapsed and came into contact with live electricity cables…
- 26 Jun 2025 - Since his impeachment last year, Gachagua has been a critic of Ruto, accusing him of alleged incompetence.
- 26 Jun 2025 - President William Ruto has assented to the 2025 Finance Bill at State House, Nairobi after MPs passed the proposed legislation last week.
- 26 Jun 2025 - Omtatah warned that Kenya might be heading the Sudan way.
- 26 Jun 2025 - Aroko, who was previously arrested and treated as a suspect in the high-profile case, was freed after the Directorate of Criminal Investigations (DCI) reviewed the evidence and opted to enlist him as a key witness.
- 26 Jun 2025 - President William Ruto has assented to three key bills passed by the National Assembly, including the Finance Bill 2025, the Supplementary Appropriation Bill 2025, and the Appropriations Bill 2025.
- 26 Jun 2025 - Action for Sustainable Change (AFOSC-Kenya) has condemned the violence reported in parts of the country during the June 25 anniversary demonstrations.