Vita: Wachambuzi wa kisiasa na ulinzi waeleza nini lengo la Putin
Wakati viongozi wa Umoja wa Ulaya wakijiandaa kwa mazungumzo ya dharura kuhusu misaada ya kijeshi baada ya utawala wa Trump kusitisha msaada wake kwa Ukraine, wataalam kadhaa wa Russia wanasema kuwa Moscow inajitahidi kuvuruga mshikamano wa Magharibi.
Kufuatia majibizano ya wiki iliyopita huko White House kati ya viongozi wa Marekani na wale wa Ukraine, msemaji wa Kremlin Dmitry Peskov, Jumatatu aliilaumu Ulaya kwa kuendeleza vita hivyo, akiongeza kuwa marekebisho kwenye sera za mambo ya nje za Marekani kwa sehemu kubwa zinaendana na mtazamo wa Moscow.
Maoni hayo yamekuja kabla ya kuanza kwa mkutano wa fedha wa Umoja wa Ulaya Alhamisi ukilenga kuimarisha usalama wa bara hilo pamoja na msaada kwa Ukraine ambayo kwa miongo kadhaa imekuwa ikitegemea msaada wa ulinzi kutoka Marekani.
Kwenye mahojiano ya hivi karibuni na gazeti la kijeshi la Krasnaya Zvezda, Waziri wa Mambo ya nje wa Russia Sergey Lavrov alimtaja rais Trump kama “ mtu anayeangalia masuala kwa kina” na kwamba kauli mbiu yake ni “tumia akili.” Alisema kwamba majanga yote ya dunia kwa zaidi ya miaka 500 iliyopita yalianzia au kufanyika Ulaya kutokana na sera zao wakati Marekani ikiwa haijahusika.
#trump #zelenskyy #ukraine #russia #voa #makamurais #jdvance #msaada
26 Jun 2025
- The communications authority of Kenya has defied court orders barring the action.
26 Jun 2025
- Eleven people are said to have lost their lives in the protests, with many others injured.
26 Jun 2025
- The protests spread across the country to mark the one-year anniversary of the June 25, 2024, victims.
26 Jun 2025
- Some 26 Nyandarua County government vehicles were torched during Wednesday’s demonstrations to mark the first anniversary of last year’s anti-Finance Bill protests.
26 Jun 2025
- Iran's intelligence services have arrested 26 people, accusing them of collaborating with Israel, state media Fars news agency reported, days after a ceasefire between the two countries was announced.
26 Jun 2025
- Sixteen people died during nationwide anti-government protests in Kenya on Wednesday, most of them killed by police, the head of Amnesty Kenya said, a year after deadly demonstrations against a tax bill culminated in the storming of parliament.
26 Jun 2025
- Ecuador's president announced Wednesday that the country's most-wanted fugitive, Los Choneros gang leader "Fito," had been recaptured over a year after his escape from prison triggered a wave of violence.
26 Jun 2025
- In a statement on X, Kaluma said the CA’s move was in the interest of public safety and order.
26 Jun 2025
- Israeli attacks across Gaza on Wednesday killed at least 45 Palestinians, including some who were seeking aid.
26 Jun 2025
- The Triple Olympic champion Faith Kipyegon is on the brink of making history again as she gears up for a landmark sub-four-minute mile attempt at the Charlety Stadium in Paris on Thursday, June 26, 2025, evening. With a Ksh13 million incentive on the…
26 Jun 2025
- The communications authority of Kenya has defied court orders barring the action.
26 Jun 2025
- Prime Cabinet Secretary and Cabinet Secretary for Foreign and Diaspora Affairs, Musalia Mudavadi, hosted and bid farewell to the United States Chargé d’Affaires, Marc Dillard, as he concludes his diplomatic mission in Kenya. During their meeting,…
26 Jun 2025
- Lusaka challenged public officials to internalise and uphold Chapter Six of the constitution in their daily operations.