Uwekezaji katika teknolojia unahitajika kuweza kuzuia upotoshaji, uongo
Pamoja na kuenea kwa taarifa za uongo kwenye mitandao ya kijamii, Armando Nhantumbo mwandishi wa habari wa Msumbiji wa Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA) anasema uwekezaji katika teknolojia unahitajika kwenye vyumba vya habari kuelekeza wanahabari jinsi ya kukabiliana na upotoshaji pamoja na habari za uongo.
(Armando Nhantumbo wa Media Institute of Southern Africa anaeleza:
“Shukrani kwa teknolojia, tunapata taarifa zaidi, na tunaweza kushiriki zaidi na zaidi katika masuala ya utawala ambayo ilikuwa ngumu miaka 30 iliyopita. Kinachotokea ni pamoja na faida hizi, lakini kuna hasara pia. Mojawapo ya ubaya ni kutoijua habari.”
MISA Msumbiji inatoa huduma za kuangalia ukweli na kutoa mafunzo kwa waandishi wa habari, Nhantumbo anasema.
Armando Nhantumbo, Media Institute of Southern Africa anasema:
“Kuna vyombo vya kidijitali vinavyotusaidia kufanya hili na sisi MISA Msumbiji tumekuwa tukiandaa mafunzo kwa wanafunzi wa uandishi wa habari, waandishi wa habari na mashirika ya kiraia juu ya jinsi ya kutumia majukwaa haya.”
Kwa vile jamii inategemea zaidi mitandao ya kijamii kwa habari, watetezi wa vyombo vya habari wanasema kazi kama ya Evidencias na MISA Msumbiji itakuwa chombo chenye nguvu katika kuhabarisha umma kwa usahihi na uwazi.
#MISA #KusinimwaAfrika #msumbiji #maputo #waandishi #armandonhantumbo #mediainstituofsouthafrica #voa #voaswahili #habaripotofu #upotoshaji #voa #voaswahili
26 Jun 2025
- Linus Kaikai joined Royal Media Services in 2018 from NTV.
26 Jun 2025
- The KUCCPS students portal is currently open to facilitate applications to the institution.
26 Jun 2025
- Traders have been left counting losses.
26 Jun 2025
- The incident occurred when two officers—one from the Directorate of Criminal Investigations (DCI) and the other from the general police service—were overcome by the weight of the mast, which collapsed and came into contact with live electricity cables…
26 Jun 2025
- President William Ruto has assented to the 2025 Finance Bill at State House, Nairobi after MPs passed the proposed legislation last week.
26 Jun 2025
- Aroko, who was previously arrested and treated as a suspect in the high-profile case, was freed after the Directorate of Criminal Investigations (DCI) reviewed the evidence and opted to enlist him as a key witness.
26 Jun 2025
- Four casualties from Wednesday’s June 25 anniversary demonstrations are still admitted at the Matuu Level IV hospital in Machakos County with gunshot wounds.
26 Jun 2025
- Babu took to social media, saying, "This is not just an attack on me, but on democracy itself," linking the withdrawal to his active participation in nationwide protests marking the one-year anniversary of the June 2024 demonstrations against the…
26 Jun 2025
- His remarks came amid nationwide protests held to mark one year since the deadly June 25, 2024, anti-government demonstrations.
26 Jun 2025
- Shabiki, through its Na Jamii corporate social responsibility initiative, proudly sponsored the KidsToKids Charity Golf Tournament, a one-of-a-kind event that raised funds to support education for underprivileged children in Kenya.
26 Jun 2025
- Linus Kaikai joined Royal Media Services in 2018 from NTV.
26 Jun 2025
- The KUCCPS students portal is currently open to facilitate applications to the institution.
26 Jun 2025
- President William Ruto on Thursday, June 26, 2025, signed the Finance Bill of 2025 into law at the State House in Nairobi. The bill, which was passed by the National Assembly on June 19, 2025, proposed a raft of amendments in the Income Tax Act, Value…