Uongozi mpya wa CHADEMA waagizwa kuunda haraka Tume ya Ukweli na Upatanishi
Mwenyekiti Mstaafu Freeman Mbowe ameutaka uongozi mpya kuunda tume ya ukweli na upatanishi ili kurudisha umoja ndani ya chama hicho uliopotea wakati wa kampuni.
Wakili Tundu Lissu ameshinda nafasi ya Mwenyekiti kwa kupata Kura 513, sawa na asilimia 51.5, akimshinda aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe ambaye amepata kura 482, sawa na asilimia 48.3, huku Odero Charlse akipata kura 1 sawa na asilimia 0.1.
Hata hivyo mwenyekiti huyo Mpya Wakili Tundu Lisu amesema uchaguzi ulikuwa huru na kuvitaka vyama vyengine vya upinzani na chama tawala kuiga mfano kutoka kwao.
Ripoti ya mwandishi wa VOA, Amri Ramadhani.
#uchaguzi #chadema #mwenyekiti #makamu #tundulissu #freemanmbowe #voa #voaswahili
26 Jun 2025
- The MP has been a vocal critic of the current regime, and has hinted at running for a higher office in the upcoming elections.
26 Jun 2025
- Hundreds of people were arrested during the demos and are still in detention.
26 Jun 2025
- Several TV stations' free-to-air signals were switched off on Wednesday.
26 Jun 2025
- Babu took to social media, saying, "This is not just an attack on me, but on democracy itself," linking the withdrawal to his active participation in nationwide protests marking the one-year anniversary of the June 2024 demonstrations against the…
26 Jun 2025
- His remarks came amid nationwide protests held to mark one year since the deadly June 25, 2024, anti-government demonstrations.
26 Jun 2025
- Shabiki, through its Na Jamii corporate social responsibility initiative, proudly sponsored the KidsToKids Charity Golf Tournament, a one-of-a-kind event that raised funds to support education for underprivileged children in Kenya.
26 Jun 2025
- The MP has been a vocal critic of the current regime, and has hinted at running for a higher office in the upcoming elections.
26 Jun 2025
- Hundreds of people were arrested during the demos and are still in detention.
26 Jun 2025
- Some 26 Nyandarua County government vehicles were torched during Wednesday’s demonstrations to mark the first anniversary of last year’s anti-Finance Bill protests.
26 Jun 2025
- Several TV stations' free-to-air signals were switched off on Wednesday.
26 Jun 2025
- The signing was done in a short ceremony at the State House, Nairobi.
26 Jun 2025
- The project is at risk of becoming a while elephant, citing poor planning and lack of value for money.
26 Jun 2025
- The petition is questioning veracity of the decision of the DPP and Ipoa to exclude the police boss from the prosecution.