Trump aanzisha rasmi sera ya jinsia mbili; kiongozi wa kanisa amuomba awe na huruma
Rais Donald Trump ameanza utawala wake mpya wiki hii kwa kusaini mamia ya amri za kiutendaji kwa masuala mbali mbali kuanzia nishati hadi uhamiaji.
Baadhi ya amri zake ni pamoja na kufuta programu za mchanganyiko, uwiano na ushiriki na kutangaza kuwa serikali ya Marekani itatambua jinsia mbili tu – mwanamme na mwanamke.
“Kuanzia hivi leo, na kuendelea itakuwa ni sera rasmi ya serikali ya Marekani kuwa kuna jinsia mbili tu, mwanamme na mwanamke,” Trump alisema katika hotuba yake baada ya kuapishwa siku ya Jumatatu.
Siku moja baada ya kutangaza kuwa kutakuwa na jinsia mbili tu nchini Marekani na kusaini amri za kiutendaji ili kuwakamata wahamiaji haramu, Mchungaji wa Kanisa la Episcopal Mariann Edgar Budde alimrai Trump kuonyesha huruma kwa watu ambao walikuwa na hofu ya “kile” kitakacho tokea.
#trump #amriyakiutendaji #jinsia #reels #voa #voaswahili
26 Jun 2025
- The MP has been a vocal critic of the current regime, and has hinted at running for a higher office in the upcoming elections.
26 Jun 2025
- Hundreds of people were arrested during the demos and are still in detention.
26 Jun 2025
- Several TV stations' free-to-air signals were switched off on Wednesday.
26 Jun 2025
- Babu took to social media, saying, "This is not just an attack on me, but on democracy itself," linking the withdrawal to his active participation in nationwide protests marking the one-year anniversary of the June 2024 demonstrations against the…
26 Jun 2025
- His remarks came amid nationwide protests held to mark one year since the deadly June 25, 2024, anti-government demonstrations.
26 Jun 2025
- Shabiki, through its Na Jamii corporate social responsibility initiative, proudly sponsored the KidsToKids Charity Golf Tournament, a one-of-a-kind event that raised funds to support education for underprivileged children in Kenya.
26 Jun 2025
- The MP has been a vocal critic of the current regime, and has hinted at running for a higher office in the upcoming elections.
26 Jun 2025
- Hundreds of people were arrested during the demos and are still in detention.
26 Jun 2025
- Some 26 Nyandarua County government vehicles were torched during Wednesday’s demonstrations to mark the first anniversary of last year’s anti-Finance Bill protests.
26 Jun 2025
- Several TV stations' free-to-air signals were switched off on Wednesday.
26 Jun 2025
- The signing was done in a short ceremony at the State House, Nairobi.
26 Jun 2025
- The project is at risk of becoming a while elephant, citing poor planning and lack of value for money.
26 Jun 2025
- The petition is questioning veracity of the decision of the DPP and Ipoa to exclude the police boss from the prosecution.