Tazama mubashara hafla ya uapisho wa Rais mteule wa Marekani Donald Trump
Rais mteule Donald Trump anaapishwa kuwa rais wa 47 wa Marekani, Januari 20,2023
Hafla ya uapisho itatanguliwa na maonesho ya muziki na hotuba ya ufunguzi kwenye jukwaa kuu lililopo kwenye majengo ya bunge la Marekani.
Kisha itafuatiwa na kuapishwa kwa Trump na makamu wa rais JD Vance pamoja na hotuba ya kuapishwa.
Kisha Trump ataingia Chumba cha Rais kutia saini hati muhimu za kuanza utawala wake mpya. Na baada ya chakula cha mchana ambacho rais atahudhuria, gwaride litaanza, kutoka majengo ya Bunge (Capitol) hadi Ikulu ya White.
Matukio haya yote yanakujia mubashara kuanzia majira ya saa moja usiku kwa saa za Afrika Mashariki kupitia ukurasa huu wa Youtube pamoja na mitandao ya kijamii na tovuti ya BBCSwahili.
#bbcswahili #Marekani #donaldtrump
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
26 Jun 2025
- The country has been facing accusations of arming RSF.
26 Jun 2025
- A motion had been filed against him on allegations of misconduct.
26 Jun 2025
- So far, 16 people have died following yesterday's protests.
26 Jun 2025
- Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has accused a section of the media of fueling unrest during Wednesday’s Gen Z-led protests, claiming they played a central role in mobilising demonstrators under the guise of live coverage.
26 Jun 2025
- Interior CS Kipchumba Murkomen has revealed that the government has not allocated any budget to compensate the victims whose properties were either looted or destroyed during the Wednesday, June 25, protests.
26 Jun 2025
- Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen says 300 police officers were injured on Wednesday during the youth-led anti-government protests that rocked various parts of the country.
26 Jun 2025
- Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has vehemently castigated the Wednesday, June 25, demonstrations, citing that the protesters had a motive to forcefully seize power through a coup.
26 Jun 2025
- In a statement released Thursday, the country's leading legal body expressed condolences to the families of the eight people confirmed to have died during the nationwide protests, one year after the 2024 anti-Finance Bill demonstrations.
26 Jun 2025
- The country has been facing accusations of arming RSF.
26 Jun 2025
- The Kenya Union of Journalists (KUJ), Kenya Editors Guild (KEG), Association of Media Women in Kenya (AMWIK), and Kenya Correspondents Association have filed a petition in the High Court claiming that the government's actions violate several fundamental…
26 Jun 2025
- A motion had been filed against him on allegations of misconduct.
26 Jun 2025
- He said that the government will not allow criminal elements to hide behind protests to destabilize the country and terrorize citizens.
26 Jun 2025
- So far, 16 people have died following yesterday's protests.