Serikali yapiga marufuku matangazo mubashara kuhusu maandamano
Maadhimisho ya mwaka mmoja tangu vijana kuawa bungeni walipovamia majengu ya bunge yameshuhudia ghasia kubwa katika miji mbali mbali nchini Kenya, hasa Nairobi.
Vijana waliojitokeza kwa wingi wanaitaka serikali kuwasikiliza hasa kuhusiana na suala la wao kutekwa nyara na kuawa katika hali tatanishi mikononi mwa polisi.
@RoncliffeOdit anaangazia maandamano haya ambayo yameilazimu serikali kupiga marufuku matangazo ya moja kwa moja ya runinga kuhusu maandamano hayo.
Jiunge naye mubashara kwenye Dira ya Dunia TV kwenye ukurasa wa YouTube BBC Swahili
#bbcswahili #kenya #diratv
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
25 Jun 2025
- A report suggested a bomb would derail the planned protests on Wednesday.
25 Jun 2025
- Protesters took to the streets to demand justice over the June 25 killings.
25 Jun 2025
- The directive will affect more than 60,000 teachers.
26 Jun 2025
- Kisima Declaration: The girls caught between two worlds: Why Samburu's fight against FGM is creating new divisions
26 Jun 2025
- Bandits killed two people and injured two others on Monday.
26 Jun 2025
- Kenyans turned out in massive numbers to demand justice for Gen Zs who died.
26 Jun 2025
- Kenya anniversary protests turn violent, 8 dead
26 Jun 2025
- Mix of uneasy calm, running battles mark day in Nyanza and Western
26 Jun 2025
- Your guns won't silence our voices, opposition and protesters tell Ruto
26 Jun 2025
- Standard Group: Illegal TV shutdown undermines free press
26 Jun 2025
- MPs scatter for safety amid fear of second 'visit' by irate Gen Zs
26 Jun 2025
- Death, violence, and looting in Rift Valley as protesters take to the streets
26 Jun 2025
- Invasive practice that has been tackled by court rulings and government action. So why is it still going on?