Seneta Okiya Omtata aongoza maandamano dhidi ya serikali kulaani utekaji nyara
Polisi mjini Nairobi, Kenya Jumatatu walilazimika kutumia mabomu ya kutoa machozi kutawanya waandamanaji waliokuwa wakilalamikia visa vya utekaji nyara vya wale wanaoonekana kuipinga serikali.
Waandamanaji hao wakiongozwa na Seneta Okiya Omtata baadhi ya viongozi hao walijifunga minyororo na kubeba mabango yaliyokashifu uongozi wa serikali ya Rais William Ruto kwa kuendeleza ukiukaji wa haki za kibinadamu.
Vuta nikuvute hiyo ilichukua zaidi ya saa nane kabla ya polisi kutumia nguvu kuwakamata viongozi hao.
Haya yanajiri siku chache baada ya Rais Ruto kuahidi angesitisha visa vya utekaji nyara.
Wiki iliyopita Tume ya Taifa ya Haki za Binadamu ya Kenya (KNCHR) ilisema takriban watu 82 wametekwa nyara tangu mwezi juni maandamano ya vijana yalipoanza.
Ripoti hiyo ilibaini utekaji nyara huo uliofanywa kisiri na kufikia sasa watu 29 hawajulikani walipo.
#polisi #kenya #nairobi #utekajinyara #maandamano #mabomu #voa #voaswahili #seneta #okiyaomtata
26 Jun 2025
- Linus Kaikai joined Royal Media Services in 2018 from NTV.
26 Jun 2025
- The KUCCPS students portal is currently open to facilitate applications to the institution.
26 Jun 2025
- Traders have been left counting losses.
26 Jun 2025
- The incident occurred when two officers—one from the Directorate of Criminal Investigations (DCI) and the other from the general police service—were overcome by the weight of the mast, which collapsed and came into contact with live electricity cables…
26 Jun 2025
- President William Ruto has assented to the 2025 Finance Bill at State House, Nairobi after MPs passed the proposed legislation last week.
26 Jun 2025
- Aroko, who was previously arrested and treated as a suspect in the high-profile case, was freed after the Directorate of Criminal Investigations (DCI) reviewed the evidence and opted to enlist him as a key witness.
26 Jun 2025
- Four casualties from Wednesday’s June 25 anniversary demonstrations are still admitted at the Matuu Level IV hospital in Machakos County with gunshot wounds.
26 Jun 2025
- Babu took to social media, saying, "This is not just an attack on me, but on democracy itself," linking the withdrawal to his active participation in nationwide protests marking the one-year anniversary of the June 2024 demonstrations against the…
26 Jun 2025
- His remarks came amid nationwide protests held to mark one year since the deadly June 25, 2024, anti-government demonstrations.
26 Jun 2025
- Shabiki, through its Na Jamii corporate social responsibility initiative, proudly sponsored the KidsToKids Charity Golf Tournament, a one-of-a-kind event that raised funds to support education for underprivileged children in Kenya.
26 Jun 2025
- Linus Kaikai joined Royal Media Services in 2018 from NTV.
26 Jun 2025
- The KUCCPS students portal is currently open to facilitate applications to the institution.
26 Jun 2025
- President William Ruto on Thursday, June 26, 2025, signed the Finance Bill of 2025 into law at the State House in Nairobi. The bill, which was passed by the National Assembly on June 19, 2025, proposed a raft of amendments in the Income Tax Act, Value…