- 49,895 viewsRais-mteule wa Marekani, Donald Trump Jumatano alikwenda White House kwa mara ya kwanza baada ya miaka minne kukutana na Rais anayendoka mamlakani Joe Biden. Biden alimkaribisha Trump kwa ziara ya kawaida, kuonyesha kuwa Januari 20 kutakutwa na makabidhiano ya amani ya madaraka katika demokrasia ya Marekani kati ya kiongozi wa sasa wa Marekani na mtendaji mkuu anayeingia katika wadhifa huo. Utamaduni wa wa kumkaribisha rais anayeingia madaraka ni moja ya jambo ambalo Trump hakulifanya baada ya Biden kumshinda mwaka 2020. Mkutano wa Jumatano kati ya watu hao wawili ulikuja wakati Trump akichukua kuunda utawala wake. “Ndiyo, Bwana Rais-mteule na rais wa zamani Donald Trump, hongera sana na natazamia kRama nilivyosema, kuw na makabidhiano ya amani ya utawala. Tutafanya kila kituo tunachoweza kukidhi kile unachokihitaji na ndiyo tutapata fursa ya kuzungumza kuhusu baadhi ya mambo hayo hivi leo. Karibu, karibu tena.” “Ahsante sana. Siasa ni ngumu. Na katika nyakati nyingi, si sehemu nzuri sana katika dunia. Lakini ni dunia nzuri ya leo na nashukuru sana. Kipindi cha mpito kitakuwa hakina tatizo mambo yatakwenda vizuri na nashukuru sana kwa hilo, Joe,” amesema Rais-mteule Trump. Mke wa Rais Jill Biden alijiunga na mume wake kumklaki rais-mteule alipowasili White House. White House imesema alimpa Trump barua ya pongezi aliyomuandikia mke wake, Melania, na kuelezea kuwa timu yake iko tayari kusaidia katika kipindi cha mpito. #rais #donaldtrump #kamalaharris #wafuasi #voaelections #voaelections2024
Rais mteule Trump akutana na Rais Biden
- 26 Jun 2025 - In a statement released Thursday, the country's leading legal body expressed condolences to the families of the eight people confirmed to have died during the nationwide protests, one year after the 2024 anti-Finance Bill demonstrations.
- 26 Jun 2025 - The Kenya Union of Journalists (KUJ), Kenya Editors Guild (KEG), Association of Media Women in Kenya (AMWIK), and Kenya Correspondents Association have filed a petition in the High Court claiming that the government's actions violate several fundamental…
- 26 Jun 2025 - Speaking a day after the nationwide demonstrations, Kimilili MP Didmus Barasa criticized court-imposed restrictions on police use of force, claiming they left officers powerless in the face of unrest.
- 26 Jun 2025 - The incident occurred when two officers—one from the Directorate of Criminal Investigations (DCI) and the other from the general police service—were overcome by the weight of the mast, which collapsed and came into contact with live electricity cables…
- 26 Jun 2025 - Since his impeachment last year, Gachagua has been a critic of Ruto, accusing him of alleged incompetence.
- 26 Jun 2025 - The Finance Bill 2025 has now become law and is expected to come into effect beginning July 1, 2025 following the assent by President William Ruto on Thursday.
- 26 Jun 2025 - President William Ruto has assented to the 2025 Finance Bill at State House, Nairobi after MPs passed the proposed legislation last week.
- 26 Jun 2025 - Omtatah warned that Kenya might be heading the Sudan way.
- 26 Jun 2025 - Aroko, who was previously arrested and treated as a suspect in the high-profile case, was freed after the Directorate of Criminal Investigations (DCI) reviewed the evidence and opted to enlist him as a key witness.
- 26 Jun 2025 - President William Ruto has assented to three key bills passed by the National Assembly, including the Finance Bill 2025, the Supplementary Appropriation Bill 2025, and the Appropriations Bill 2025.