"Ninaweza kukufanya milionea."
Mawakala wa ajira wanaowalaghai raia wa kigeni wanaoomba kazi katika sekta ya afya ya Uingereza wamefichuliwa kupitia uchunguzi wa siri wa BBC.
BBCAfricaEye imefuatilia kwa siri mawakala wadanganyifu wa masuala ya uhamiaji wanaochukua maelfu ya pauni kutoka kwa wahamiaji wanaotamani kupata kazi Uingereza.
Na kubaini mbinu za mawakala hawa, ikiwa ni pamoja na kuuza nafasi za kazi katika makampuni ya afya ya Uingereza kinyume cha sheria.
Wizara ya Mambo ya ndani ya Uingereza imekiri kuwa mfumo huu unakabiliwa na udanganyifu, lakini uchunguzi wetu umeonyesha jinsi mawakala hawa wanavyoweza kuwalaghai watu kwa urahisi, kuepuka kugundulika na kuendelea kunufaika kifedha.
Tazama video hii kwa urefu hapa hapa Youtube ya bbcswahili
#bbcswahili #uingereza #uhamiaji
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
26 Jun 2025
- The president has faced intense criticism from the youth in the past couple years.
26 Jun 2025
- The MP has been a vocal critic of the current regime, and has hinted at running for a higher office in the upcoming elections.
26 Jun 2025
- Hundreds of people were arrested during the demos and are still in detention.
26 Jun 2025
- President William Ruto has assented to the 2025 Finance Bill at State House, Nairobi after MPs passed the proposed legislation last week.
26 Jun 2025
- Aroko, who was previously arrested and treated as a suspect in the high-profile case, was freed after the Directorate of Criminal Investigations (DCI) reviewed the evidence and opted to enlist him as a key witness.
26 Jun 2025
- Four casualties from Wednesday’s June 25 anniversary demonstrations are still admitted at the Matuu Level IV hospital in Machakos County with gunshot wounds.
26 Jun 2025
- Babu took to social media, saying, "This is not just an attack on me, but on democracy itself," linking the withdrawal to his active participation in nationwide protests marking the one-year anniversary of the June 2024 demonstrations against the…
26 Jun 2025
- His remarks came amid nationwide protests held to mark one year since the deadly June 25, 2024, anti-government demonstrations.
26 Jun 2025
- Shabiki, through its Na Jamii corporate social responsibility initiative, proudly sponsored the KidsToKids Charity Golf Tournament, a one-of-a-kind event that raised funds to support education for underprivileged children in Kenya.
26 Jun 2025
- The group also tried to attack the Molo MP’s residence but were repulsed by security teams.
26 Jun 2025
- The President also enacted the Appropriations Bill and Supplementary Appropriation Bill
26 Jun 2025
- “We need to create job opportunities for our youth to promote effective governance in this country."
26 Jun 2025
- Once the backbone of the country's agricultural sector, many of them are now elderly, visibly frail, battling illness and financially desperate.