- 424 viewsJude Mbaku ni mwanahabari mwingine, na mhariri mkuu wa DMRTV Buea, mkaguzi mkuu wa kuhakiki habari za kweli katika eneo ambalo hapo awali liliathiriwa na habari potofu. Mbaku anasema ameona makundi yanayotumia mitandao ya kijamii kupotosha umma, na matokeo yake ni makubwa. Jude Mbaku wa DMRTV Buea -Mhariri Mkuu anasema: Timu ya Cameroon ilipokwenda Cote d’Ivoire kwenye michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika, tetesi zilienea kwamba Njie Clinton amejiuzulu kwenye kikosi. Na walioeneza habari hizi walikuwa wapiganaji waliojitenga. Hili halikufanywa kama jambo la makosa. Ilikuwa imeandaliwa vizuri na kutayarishwa vyema ili kupotosha watu. Karloff anasema kuwa waandishi wa habari wa Cameroon wanakabiliwa na changamoto nyingi katika kuripoti kwa usahihi, ikiwa ni pamoja na ufadhili mdogo, hatari za usalama, na upatikanaji mdogo wa habari. Boris-Kaloff Meneja wa kituo cha CBS Buea anatoa maelezo zaidi: "Nchini Cameroon, ni vigumu kupata takwimu na data. Unajua, nimekwenda kwa wajumbe wa kanda wa usafiri kuulizia takwimu za magari yaliyosajiliwa kusini-magharibi, haswa huko Buea, na nikaambiwa niende kusimama barabarani kuanza kuhesabu magari mimi mwenyewe." Ripoti ya Njodzeka Danhatu wa VOA, Buea, Cameroon. #timu #mpira #cameroon #voa #voaswahili #njieclinton #cotedivoire #judembaku #dmrtvbuea #mharirimkuu #voa #voaswahili #habaripotofu
Mhariri wa Kituo cha DMRTV aeleza jinsi habari potofu zilivyo enezwa katika soka
- 26 Jun 2025 - The incident occurred when two officers—one from the Directorate of Criminal Investigations (DCI) and the other from the general police service—were overcome by the weight of the mast, which collapsed and came into contact with live electricity cables…
- 26 Jun 2025 - President William Ruto has assented to the 2025 Finance Bill at State House, Nairobi after MPs passed the proposed legislation last week.
- 26 Jun 2025 - Aroko, who was previously arrested and treated as a suspect in the high-profile case, was freed after the Directorate of Criminal Investigations (DCI) reviewed the evidence and opted to enlist him as a key witness.
- 26 Jun 2025 - Four casualties from Wednesday’s June 25 anniversary demonstrations are still admitted at the Matuu Level IV hospital in Machakos County with gunshot wounds.
- 26 Jun 2025 - Babu took to social media, saying, "This is not just an attack on me, but on democracy itself," linking the withdrawal to his active participation in nationwide protests marking the one-year anniversary of the June 2024 demonstrations against the…
- 26 Jun 2025 - His remarks came amid nationwide protests held to mark one year since the deadly June 25, 2024, anti-government demonstrations.
- 26 Jun 2025 - Shabiki, through its Na Jamii corporate social responsibility initiative, proudly sponsored the KidsToKids Charity Golf Tournament, a one-of-a-kind event that raised funds to support education for underprivileged children in Kenya.
- 26 Jun 2025 - Linus Kaikai joined Royal Media Services in 2018 from NTV.
- 26 Jun 2025 - The KUCCPS students portal is currently open to facilitate applications to the institution.
- 26 Jun 2025 - President William Ruto on Thursday, June 26, 2025, signed the Finance Bill of 2025 into law at the State House in Nairobi. The bill, which was passed by the National Assembly on June 19, 2025, proposed a raft of amendments in the Income Tax Act, Value…