- 336 views
Baraza la Kitaifa la Makanisa ya kiinjilisti liliongoza ibada ya maombi ya pamoja kwa ajili ya amani, kabla ya maandamano yaliyopangwa kufanyika Juni 25. Mkutano huo uliwaleta pamoja viongozi wa makanisa, vijana na familia zilizopoteza wapendwa wao wakati wa maandamano ya mwaka jana. Wito wa haki na uponyaji ulishamiri katika ibada hiyo iliyolenga kuunganisha taifa kupitia maombi na tafakari, huku vijana wakihimizwa kuepuka vurugu na fujo katika maandamano ya kuadhimisha mwaka mmoja tangu maandamano ya Gen Z.
Makanisa ya kiinjilisti yaandaa maombi kwa taifa Nairobi
- 26 Jun 2025 - Babu took to social media, saying, "This is not just an attack on me, but on democracy itself," linking the withdrawal to his active participation in nationwide protests marking the one-year anniversary of the June 2024 demonstrations against the…
- 26 Jun 2025 - His remarks came amid nationwide protests held to mark one year since the deadly June 25, 2024, anti-government demonstrations.
- 26 Jun 2025 - Shabiki, through its Na Jamii corporate social responsibility initiative, proudly sponsored the KidsToKids Charity Golf Tournament, a one-of-a-kind event that raised funds to support education for underprivileged children in Kenya.
- 26 Jun 2025 - The president has faced intense criticism from the youth in the past couple years.
- 26 Jun 2025 - The MP has been a vocal critic of the current regime, and has hinted at running for a higher office in the upcoming elections.
- 26 Jun 2025 - Hundreds of people were arrested during the demos and are still in detention.
- 26 Jun 2025 - Vehicles belonging to police and civilians were also damaged during the chaos, including three police vehicles and two private cars.
- 26 Jun 2025 - Some 26 Nyandarua County government vehicles were torched during Wednesday’s demonstrations to mark the first anniversary of last year’s anti-Finance Bill protests.
- 26 Jun 2025 - Several shops along Moi Avenue were broken into, with windows smashed and items stolen.
- 26 Jun 2025 - Several TV stations' free-to-air signals were switched off on Wednesday.