Kwa nini Trump anakata msaada kwa Afrika Kusini?
Rais wa Marekani Donald Trump Jumapili alidai kuwa serikali ya Afrika Kusini “inataifisha ardhi, na kuwatendea vibaya sana watu wa tabaka fulani.”
“Marekani haitavumilia hilo, tutachukua hatua. Pia nitakata ufadhili wote siku za usoni kwa Afrika Kusini mpaka uchunguzi kamili wa hali hii ukamilike,” Trump alisema.
Hatua ya Trump imekuja mara baada ya Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa kusaini kuwa sheria mswaada wa Utaifishaji Ardhi unaofungua njia kwa serikali kutaifisha ardhi bila yakulipa fidia.
Sheria hiyo ina lengo kupambana na athari za kibaguzi za enzi ya ubaguzi wa rangi Afrika Kusini ambayo ilishuhudia wazungu wachache katika taifa hilo waliokuwa na umiliki mkubwa wa ardhi.
Mamlaka nchini Afrika Kusini zilimjibu Trump Jumatatu nakueleza kuwa sheria hiyo “siyo chombo cha kutaifisha ardhi, lakini ni mchakato wa kisheria uliopitishwa kikatiba ambao unauhakikisha umma unapata ardhi katika usawa na haki kama inavyoongozwa na Katiba.”
Akizungumza wakati wa sherehe za viwanda Jumatatu, Waziri wa Madini wa Afrika Kusini, Gwede Mantashe, alitoa wito wakukabiliana na vitisho vya Trump. Mantashe alisema Trump ana “yaoneya” mataifa madogo kwa sababu “wao ni taifa kubwa.”“Lazima tupinge hilo,” waziri wa madini alisema. - Reuters
#donaldtrump #marekani #afrikakusini #cyrilramaphosa #utaifishajiardhi #sheria #voa #voaswahili #rais
26 Jun 2025
- The MP has been a vocal critic of the current regime, and has hinted at running for a higher office in the upcoming elections.
26 Jun 2025
- Hundreds of people were arrested during the demos and are still in detention.
26 Jun 2025
- Several TV stations' free-to-air signals were switched off on Wednesday.
26 Jun 2025
- Babu took to social media, saying, "This is not just an attack on me, but on democracy itself," linking the withdrawal to his active participation in nationwide protests marking the one-year anniversary of the June 2024 demonstrations against the…
26 Jun 2025
- His remarks came amid nationwide protests held to mark one year since the deadly June 25, 2024, anti-government demonstrations.
26 Jun 2025
- Shabiki, through its Na Jamii corporate social responsibility initiative, proudly sponsored the KidsToKids Charity Golf Tournament, a one-of-a-kind event that raised funds to support education for underprivileged children in Kenya.
26 Jun 2025
- The MP has been a vocal critic of the current regime, and has hinted at running for a higher office in the upcoming elections.
26 Jun 2025
- Hundreds of people were arrested during the demos and are still in detention.
26 Jun 2025
- Some 26 Nyandarua County government vehicles were torched during Wednesday’s demonstrations to mark the first anniversary of last year’s anti-Finance Bill protests.
26 Jun 2025
- Several TV stations' free-to-air signals were switched off on Wednesday.
26 Jun 2025
- The signing was done in a short ceremony at the State House, Nairobi.
26 Jun 2025
- The project is at risk of becoming a while elephant, citing poor planning and lack of value for money.
26 Jun 2025
- The petition is questioning veracity of the decision of the DPP and Ipoa to exclude the police boss from the prosecution.