Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, Jumatano amekubali kushindwa katika uchaguzi wa urais, akimpigia simu Rais wa zamani Donald Trump, kumpongeza kwa ushindi wake na kuwaambia wafuasi wake kwamba si wakati wa kumaliza vita vya kutetea maono ya kimaendeleo kwa nchi hiyo.
“Ni sawa kusikia huzuni na kukata tamaa,” aliuambia umati wa watu katika Chuo Kikuu cha Howard, hapa Washington, chuo alicho somea.
Mgombea huyo wa chama cha Demokrat amesema mapambano yataendelea katika kura, mahakamani na majukwaa ya umma. Trump ameshinda uchaguzi wa Jumanne na kuwa rais wa 47 wa nchi hiyo huku akitwaa takriban majimbo matano kati ya saba muhimu ya ushindani na alikuwa akiongoza katika mengine mawili wakati hesabu za kura zikiendelea.
Trump na makamu wake JD Vance, wataingia madarakani Januari 20 kwa muhula wa miaka minne.
#rais #donaldtrump #kamalaharris #wafuasi
#voaelections
#voaelections2024
26 Jun 2025
- In a statement released Thursday, the country's leading legal body expressed condolences to the families of the eight people confirmed to have died during the nationwide protests, one year after the 2024 anti-Finance Bill demonstrations.
26 Jun 2025
- The Kenya Union of Journalists (KUJ), Kenya Editors Guild (KEG), Association of Media Women in Kenya (AMWIK), and Kenya Correspondents Association have filed a petition in the High Court claiming that the government's actions violate several fundamental…
26 Jun 2025
- Speaking a day after the nationwide demonstrations, Kimilili MP Didmus Barasa criticized court-imposed restrictions on police use of force, claiming they left officers powerless in the face of unrest.
26 Jun 2025
- At least 16 people were killed during the protests, according to Amnesty International, while more than 400 were injured. Among the fatalities was a security guard stationed at Kenya Power’s Stima Plaza headquarters. Fred Wamale Wanyonyi was shot at the…
26 Jun 2025
- Koome cautioned the freedom to assembly does not extend to acts of violence or destruction even as she acknowledged constitutional guarantees under Article 37.
26 Jun 2025
- The incident occurred when two officers—one from the Directorate of Criminal Investigations (DCI) and the other from the general police service—were overcome by the weight of the mast, which collapsed and came into contact with live electricity cables…
26 Jun 2025
- Trans Nzoia Woman Representative Lillian Siyoi has sparked sharp reactions after questioning the frequency and relevance of national commemorations, even as the country continues to grapple with justice and healing following last year’s Gen Z protests.…