Jeshi la polisi Dar es Salaam latoa onyo kwa CHADEMA
"Jeshi la polisi linatoa onyo kali kwa wale wote wanaopanga kutekeleza mpango huo kuwa watashughulikiwa vikali lakini kwa mujibu wa sheria"
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu Dar es Salaam limetoa onyo dhidi ya mpango wa Chadema kuhamasisha watu kukusanyika Mahakama ya Kisutu April 24 ili kumuunga mkono kiongozi wa chama cha upinzani CHADEMA Tundu Lissu atakapofikishwa Mahakamani hapo
Onyo hilo limekuja baada ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema John Heche kusisitiza watu kujitokeza kwa wingi siku hiyo
Kiongozi wa CHADEMA Tundu Lissu, alifunguliwa kesi kwa shutuma za uhaini baada ya kukamatwa mkoani Ruvuma alipokuwa kwenye kampeni ya kushinikiza mageuzi kwenye Tume ya Uchaguzi kabla ya uchaguzi wa mwezi Oktoba.
-
#bbcswahili #tanzania #uongozi
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
26 Jun 2025
- The MP has been a vocal critic of the current regime, and has hinted at running for a higher office in the upcoming elections.
26 Jun 2025
- Hundreds of people were arrested during the demos and are still in detention.
26 Jun 2025
- Several TV stations' free-to-air signals were switched off on Wednesday.
26 Jun 2025
- Babu took to social media, saying, "This is not just an attack on me, but on democracy itself," linking the withdrawal to his active participation in nationwide protests marking the one-year anniversary of the June 2024 demonstrations against the…
26 Jun 2025
- His remarks came amid nationwide protests held to mark one year since the deadly June 25, 2024, anti-government demonstrations.
26 Jun 2025
- Shabiki, through its Na Jamii corporate social responsibility initiative, proudly sponsored the KidsToKids Charity Golf Tournament, a one-of-a-kind event that raised funds to support education for underprivileged children in Kenya.
26 Jun 2025
- The MP has been a vocal critic of the current regime, and has hinted at running for a higher office in the upcoming elections.
26 Jun 2025
- Hundreds of people were arrested during the demos and are still in detention.
26 Jun 2025
- Some 26 Nyandarua County government vehicles were torched during Wednesday’s demonstrations to mark the first anniversary of last year’s anti-Finance Bill protests.
26 Jun 2025
- Several TV stations' free-to-air signals were switched off on Wednesday.
26 Jun 2025
- The signing was done in a short ceremony at the State House, Nairobi.
26 Jun 2025
- The project is at risk of becoming a while elephant, citing poor planning and lack of value for money.
26 Jun 2025
- The petition is questioning veracity of the decision of the DPP and Ipoa to exclude the police boss from the prosecution.