Je, muungano wa Raila na Ruto utawaridhisha waKenya?
Rais wa Kenya William Ruto na Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga, wametia saini rasmi mkataba wa kisiasa kufanya kazi pamoja. Mkataba kati ya chama tawala cha Ruto cha United Democratic Alliance (UDA) na Orange Democratic Movement (ODM) cha Odinga umetiwa saini rasmi leo Ijumaa mjini Nairobi. Viongozi wa pande zote mbili walifika katika jumba la KICC kushuhudia kutiwa saini kwa mkataba huo wa makubaliano ambao utahusisha utekelezaji wa masuala kumi. Miongoni mwa masuala hayo ni utekelezaji kamili wa ripoti ya Kamati ya Kitaifa ya Majadiliano (NADCO) ambayo ilitokana na maandamano kufuatia uchaguzi mkuu wa 2022, baada ya Raila kudai kuwa kulikuwa na udanganyifu katika uchaguzi huo.
Masuala mengine ni ushirikishwaji wa watu wote katika serikali, uongozi bora, kudhibiti deni la kitaifa, na kupambana na ufisadi.
#williamruto #railaodinga #kenya #siasa #bbcswahili #bbcswahilileo
26 Jun 2025
- Property of unknown value was stolen and destroyed during the protests.
26 Jun 2025
- Most of these vehicles are often sold at auctions.
26 Jun 2025
- Kipyegon is seeking to become the first woman to run a mile in under four minutes.
26 Jun 2025
- The Kenya Union of Journalists (KUJ), Kenya Editors Guild (KEG), Association of Media Women in Kenya (AMWIK), and Kenya Correspondents Association have filed a petition in the High Court claiming that the government's actions violate several fundamental…
26 Jun 2025
- Speaking a day after the nationwide demonstrations, Kimilili MP Didmus Barasa criticized court-imposed restrictions on police use of force, claiming they left officers powerless in the face of unrest.
26 Jun 2025
- The incident occurred when two officers—one from the Directorate of Criminal Investigations (DCI) and the other from the general police service—were overcome by the weight of the mast, which collapsed and came into contact with live electricity cables…
26 Jun 2025
- President William Ruto has assented to the 2025 Finance Bill at State House, Nairobi after MPs passed the proposed legislation last week.
26 Jun 2025
- Aroko, who was previously arrested and treated as a suspect in the high-profile case, was freed after the Directorate of Criminal Investigations (DCI) reviewed the evidence and opted to enlist him as a key witness.
26 Jun 2025
- Property of unknown value was stolen and destroyed during the protests.
26 Jun 2025
- Four casualties from Wednesday’s June 25 anniversary demonstrations are still admitted at the Matuu Level IV hospital in Machakos County with gunshot wounds.
26 Jun 2025
- Most of these vehicles are often sold at auctions.
26 Jun 2025
- Babu took to social media, saying, "This is not just an attack on me, but on democracy itself," linking the withdrawal to his active participation in nationwide protests marking the one-year anniversary of the June 2024 demonstrations against the…
26 Jun 2025
- This elevation means more funding and access to highly specialised healthcare.