Idadi ya wapiga kura wanawake imeendelea kuwa juu zaidi kuliko wanaume katika uchaguzi wa rais
Idadi ya wapiga kura wanawake imekuwa ni juu zaidi kuliko kwa wanaume katika uchaguzi wa rais Marekani tangu mwaka 1984. Kwa mujibu wa Center for Women in American Politics, wanawake wamekipigia kura chama cha Democratic dhidi ya Republican katika kila uchaguzi wa rais tangu mwaka 1992.
William Frey, Taasisi ya Brookings anaeleza: “Siyo tu wanawake wanajitokeza kwa wingi zaidi kuliko wanaume, lakini wao wanaishi muda mrefu zaidi kuliko wanaume, kwahiyo wale walio katika makundi ya wazee watakuwa na uwakilishi mkubwa zaidi kutoka kwa wanawake.”
William Frey wa taasisi ya Brookings anaelezea takwimu za karibuni za idadi ya watu Marekani na kuonyesha namna kura ya wanawake itakavyokuwa mwaka huu wa 2024. Anasema mwenendo unakipendelea chama cha Democratic, kwa kiasi kwasababu wapiga kura wengi hivi leo ni wanawake ambao wahitimu kutoka katika vyuo.
#wanawake #uchaguziwarais #marekani #wazungu #waafrika #republikans #demokratiki
26 Jun 2025
- The decision targets Kenyans who are living in the United States.
26 Jun 2025
- Several police stations were infiltrated and destroyed.
26 Jun 2025
- The court has since been closed indefinitely.
26 Jun 2025
- Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has vehemently castigated the Wednesday, June 25, demonstrations, citing that the protesters had a motive to forcefully seize power through a coup.
26 Jun 2025
- In a statement released Thursday, the country's leading legal body expressed condolences to the families of the eight people confirmed to have died during the nationwide protests, one year after the 2024 anti-Finance Bill demonstrations.
26 Jun 2025
- The Kenya Union of Journalists (KUJ), Kenya Editors Guild (KEG), Association of Media Women in Kenya (AMWIK), and Kenya Correspondents Association have filed a petition in the High Court claiming that the government's actions violate several fundamental…
26 Jun 2025
- The decision targets Kenyans who are living in the United States.
26 Jun 2025
- Several police stations were infiltrated and destroyed.
26 Jun 2025
- Speaking a day after the nationwide demonstrations, Kimilili MP Didmus Barasa criticized court-imposed restrictions on police use of force, claiming they left officers powerless in the face of unrest.
26 Jun 2025
- The court has since been closed indefinitely.
26 Jun 2025
- They are accused of inciting the youth.
26 Jun 2025
- The defence maintained that the real owner of the account in question is missing.
26 Jun 2025
- "They are mobilising people to participate."