Goma DRC: M23 wasitisha vita
Kundi la waasi la M23 linaloungwa mkono na Rwanda limetengaza kwamba limesitisha vita mashariki mwa DRC kwa misingi ya kibinadamu. Hali ya kibinadamu imekuwa mbaya tangu mji wa Goma kutekwa na kundi la M23 wiki iliyopita. Zaidi ya watu 700 wameuawa katika mapigano huku wengine 3,000 wakijeruhiwa. Hali hii imeifanya umoja wa mataifa kutoa wito wa kufunguliwa kwa uwanja wa ndege wa Goma kwa ajili ya kushughulikia idadi kubwa ya majeruhi wanaohitaji huduma za matibabu katika vituo vya afya ambavyo hadi sasa vina wagonjwa wengi.
26 Jun 2025
- The decision targets Kenyans who are living in the United States.
26 Jun 2025
- Several police stations were infiltrated and destroyed.
26 Jun 2025
- The court has since been closed indefinitely.
26 Jun 2025
- In a statement released Thursday, the country's leading legal body expressed condolences to the families of the eight people confirmed to have died during the nationwide protests, one year after the 2024 anti-Finance Bill demonstrations.
26 Jun 2025
- The Kenya Union of Journalists (KUJ), Kenya Editors Guild (KEG), Association of Media Women in Kenya (AMWIK), and Kenya Correspondents Association have filed a petition in the High Court claiming that the government's actions violate several fundamental…
26 Jun 2025
- The decision targets Kenyans who are living in the United States.
26 Jun 2025
- Several police stations were infiltrated and destroyed.
26 Jun 2025
- Speaking a day after the nationwide demonstrations, Kimilili MP Didmus Barasa criticized court-imposed restrictions on police use of force, claiming they left officers powerless in the face of unrest.
26 Jun 2025
- The court has since been closed indefinitely.
26 Jun 2025
- The defence maintained that the real owner of the account in question is missing.
26 Jun 2025
- "They are mobilising people to participate."
26 Jun 2025
- Malema called on Ruto to lead with dignity.
26 Jun 2025
- "We witnessed the most violent and anarchic day in the history of our Country since the 2007/08 post-election violence."